Loading...

Ikulu Yavunja Ukimya Sakata la Umeya Dar


Ikulu imevunja ukimya kuhusu ile sinema ya kuahirishwa mfululizo kwa uchaguzi wa Meya wa Jiji la Dar es Salaam kwa kusema haitaona tatizo lolote iwapo Halmashauri hiyo itaongozwa na vyama vinavyounda Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa).


Uchaguzi huo utakapofanyika na vyama hivyo kushinda na kuongoza Jiji, Ikulu imesema, hakutaathiri hata kidogo shughuli zake za kila siku hivyo haina mkono wake kwenye sarakasi za uchaguzi huo.


Hayo yalisemwa jana na Katibu Mkuu Kiongozi Balozi Ombeni Sefue, alipoulizwa  ni kwanini Ikulu isiingilie kati na kuamuru kufanyika kwa uchaguzi huo ambao umeshapigwa danadana muda mrefu.


“Hilo la hisia kwamba Ikulu ina mkono wake kwa kuhofia Ikulu kuwa chini ya Ukawa si kweli hata kidogo,” alisema Balozi Sefue.


 "Sisi tuogope nini wakati wao hawataathiri shughuli zetu za kila siku? Nakuhakikishia hatuoni tatizo lolote."


Kumekuwa na tetesi kwamba serikali inahofia upinzani kuchukua Jiji, kwani Ikulu ni kama itakuwa ndani ya eneo linalotawaliwa na wapinzani hali itakayoleta mgongano wa kiutendaji na kimaslahi.


Balozi Sefue alisema Jiji kuongozwa na Ukawa hakuwezi kuwanyima usingizi hata kidogo kwasababu iko miji mingi mikuu duniani ambayo inaongozwa na vyama vya upinzani na shughuli za Ikulu kwenye miji hiyo zinaendelea kama kawaida.


“Sisi hatuhofii na wala hatuoni sababu ya kuingilia uchaguzi huo ati kwa kuhofia Ukawa kuongoza Jiji, mbona miji mbalimbali duniani inaongozwa na vyama vya upinzani na mambo yanakwenda kama kawaida?" Alihoji.


"Sisi hatutakuwa wa kwanza duniani na wala hakuna kitakachobadilika.”


Kuhusu zoezi hilo kutawaliwa na ubabaishaji, Balozi Sefue alisema kwa sasa Ikulu haiwezi kuingilia kati na kulazimisha siku ya uchaguzi huo kwasababu wahusika wapo na hawajasema kama wameshindwa.


“Waziri anayehusika na Tamisemi yupo na hasema kwamba ameshindwa. Sasa kwanini sisi tuingilie suala lao?


"Mimi naamini hawajashindwa na wakishindwa wenyewe wanajua waende wapi kwa ajili ya ufumbuzi.


Mvutano wa Umeya wa Jiji umetokana na vyama vinavyounda Ukawa kuvuna madiwani wengi kuliko CCM katika jiji la Dar es Salaam hivyo kuwa na uwezekano mkubwa wa kutwaa Halmashauri ya Jiji, ikiwa uchaguzi huo utafanyika kwa uhuru na haki.


Jiji lina madiwani 76 wa CCM wakati Ukawa ina 87.

Tayari Halmashauri mbili kati ya tatu za Dar es Salaam zinaongozwa na Ukawa: Ilala na Kinondoni wakati CCM ikiongoza Temeke pekee.


Hata idadi ya wabunge kwa Dar es Salaam, Ukawa imeizidi kwa mbali CCM ambayo imepata wabunge wanne tu ambao ni Faustine Ndungulile wa Kigamboni, Issa Mangungu (Mbagala), Bona Kaluwa (Segerea) na Mussa Azan Zungu (Ilala).


Katika Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 25, mwaka jana Ukawa ilichukua majimbo ya Kawe linaongozwa na Halima Mdee (Chadema), Ukonga la Mwita Waitara (Chadema), Ubungo la Saed Kubenea (Chadema), Kibamba la John Mnyika (Chadema) na Kinondoni la Maulid Mtulia (CUF).


Katika kuonyesha kuwa sakata hilo bado ni moto, madiwani na wabunge wanaotoka Ukawa, juzi walivamia ofisi za Jiji wakishinikiza waambiwe tarehe ya uchaguzi huo.


Wanachama hao wa Ukawa walikaa kwa saa nzima kwenye ofisi hizo bila kupata jibu kutoka kwa wahusika na walisikika wakilaumu uongozi wa Jiji kuwa umepanga kuwahujumu.


Ingawa Ikulu ilisema kuwa haiwezi kuingilia suala hilo kwa kuwa Waziri husika hajashindwa, kuna dalili kwamba waziri mwenye dhamana amenawa mikono na hajui namna ya kutatua tatizo hio


Jiji liko chini ya Tamisemi ambayo iko Ofisi ya Rais hivyo kumekuwa na hofu kwamba iwapo Ukawa watachukua kiti cha Meya, kutakuwa na mgongano mkubwa wa sera na utekekelezaji wa ilani ya upinzani na ya Ukawa.


Vyama vya Ukawa vilishatoa angalizo hivi karibuni kwamba serikali inajaribu kutengeneza mgogoro ili kumpa nafasi Rais John Magufuli kuvunja Halmashauri ya Jiji na kuunda tume ya jiji.


Sheria ya Tamisemi ya mwaka 1982 inampa mamlaka Rais kuvunja Halmashauri ya Jiji/Mji/Manispaa na kisha kuteua tume.


Mwaka 1996, Fredrick Sumaye, akiwa Waziri Mkuu, aliivunja Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam na kuunda tume iliyoongozwa na Charles Keenja.


Wiki iliyopita ziliibuka vurugu za kurushiana makonde kati ya wafuasi wa Ukawa na Polisi kufuatia kuahirishwa kwa uchaguzi huo kutokana na madai ya kuwepo zuio la muda Mahakama lilowekwa na Chama Cha Mapinduzi (CCM), ambalo baadaye ilibainika kwamba lilikuwa feki.


Kabla ya wiki iliyopita, uchaguzi wa Meya wa Jiji ulishaahirishwa mara moja kwa sababu za kiujanja ujanja kutokana na pingamizi la CCM.

Rotimi Amaechi replies Nyesom Wike over $150m allegation

Read the press statement below..
Sadly, on Sunday, February 7, 2016, Nyesom Wike, the governor of Rivers State in furtherance of his administration’s one-point agenda, yet again, continued his grossly irresponsible, repugnant and contemptuous, albeit, feckless mission of denigrating and disparaging the person and office of the immediate past governor of the state, Rt. Hon. Chibuike Rotimi Amaechi, who is now the minister of transportation.

The ‘story-story’ this time is about another phantom $150,000,000(One Hundred and Fifty Million Dollars) that Amaechi purportedly stole from Rivers State government coffers and siphoned to his party, the All Progressives Congress(APC) within eighteen days, from December 1 to 18 of 2014. Sadly again, Wike picked a church, a sacred temple of God to tell his new imaginary tale, another bogus, fallacious concoction.

This new scurrilous fabrication by Governor Wike is in sync with the one-point agenda of the Wike administration, which is to throw as much mud as possible at former governor Amaechi, hoping that some may at least stick. All sorts of spurious stories about alleged corruption and stealing of state funds against the Amaechi administration, have been bandied in the media with no attempt to substantiate or prove these distorted false claims that completely makes nonsense of common sense.

Even, when Amaechi challenged the Wike administration and its agents to use any constitutionally available legal process or procedure to prove their jaundice, deceitful allegations against him and his administration, they have rather elected to do their own corruption probe, trial and conviction in the media; and now, even inside our solemn places of worship (churches). How callous! Why would a government be so determined to desecrate and destroy every institution, all in the name of playing politics?

It continues to baffle us, like most right-thinking Nigerians that Governor Wike will stand in a church- a solemn place of worship- and carelessly, brusquely tell such a profound lie. He condescendingly descended to falsely and indecorously shout corruption against Amaechi, without providing a single shred of evidence to back his claims. How pathetic!

Pray, Governor Wike, who collected the $150million on behalf of APC? From which State Government account(s) was the $150million taken from? How was the $150million taken and given to APC? Was it by wired transfer from Rivers State government account(s) to APC account(s)?  So many questions, if Wike had attempted to answer, would have made nonsense of his supercilious allegations.

Rivers people and Nigerians are indeed sick and tired of this old worn-out trick of Governor Wike to hoodwink and distract Rivers people from the real issues. Making a new spurious allegation of corruption against Amaechi every day, will not make Rivers people forget that most of the beautiful, working institutions built by the Amaechi administration are now been allowed to rot away in spite of the billions of naira that had accrued to the State and the billions of naira borrowed by Wike. Rivers people want to know why weeds and grasses have taken over the beautiful schools built by Amaechi? Why the standard working health facilities Amaechi built and left behind are now looking desolate and abandoned? Rivers people are concerned and worried that crime and criminals are back and have taken over. No quantum of mudslinging and attempt to disparage the inspiring legacies of the Amaechi years in Rivers State would distract Rivers people from these issues.

Mwanamke Kuwa Juu ya Mwanaume ni Mtindo Hatari Wakati wa Tendo la ndoa

Wanasayansi nchini Brazil wamefanya utafiti ili kubaini ni mtindo upi katika ufanyaji tendo la ndoa ulio hatari zaidi kwa mwanaume.
Kwa mujibu wa utafiti huo, mtindo ambao mwanamke anakuwa juu ya mwanaume ndio hatari zaidi na huwa na risk kubwa zaidi ya kusababisha hata kuvunjika kwa uume.

Wanasayansi hao wanasema:

Pindi mwanamke anapokuwa juu, mara zote hucontrol movement na uzito wote wa mwili wake ukitua kwenye uume uliosimama na kushindwa kuzuia pale uume unapokuwa umeingia vibaya kwasababu madhara huwa ni madogo kwa mwanamke bila maumivu lakini ni mabaya kwa mwanaume.
“Pindi mwanaume anapokuwa akicontrol movement, ana nafasi kubwa ya kuzuia kutokana na uume wake kuwa sehemu mbaya na hali inayopelekea kusikia maumivu na hivyo kupunguza hatari.
Hivyo inashauriwa kuepuka staili hiyo....

Salam Jabir Nae Aibuka Kwenye Malumbano ya Video Mpya ya Ali Kiba Baada ya Baadhi Kuiponda...Asema Haya

Mtangazaji wa kipindi cha Mkasi ambacho kinarushwa kupitia ting'a namba moja kwa vijana (EATV) Salama Jabir amefunguka na kuwataka watanzania kuthamini na kuheshimu watu ambao wanajituma kufanya mambo katika kazi zao.

Salama amesema kuwa kazi ya msanii siku zote ni sanaa ambayo unaweza kuipenda au kutoipenda.
Salama Jabir amesema hayo kupitia Account yake ya Twitter kufuatia baadhi ya maoni ya mashabiki ambao wamekuwa wakiwaponda wasanii wa bongo pindi wanapokuwa wanatoa kazi zao hususani video huku mashabiki wengine wakienda mbali na kuponda au kuzungumzia jambo kama wao wana maarifa ya jambo hilo.

"Kazi ya msanii ni Sanaa... Usingiingilie!! ni aidha utaipenda au hutaipenda simple!! Kama rahisi fanya na wewe tuone Respect kwa wanaojituma" Amesema Salama

Imekuwa ni kawaida kwa mashabiki kuponda kazi za wasanii na kuwatusi kupitia mitandao yao ya kijamii jambo ambalo linakuwa linakatisha tamaa baadhi ya wasanii na kuwaumiza kwani maneno ambayo mashabiki huwa wanatumia ni makali na ya kukatisha tamaa.

Hali hii mara nyingi imekuwa ikisababishwa na makundi ya mashabiki maarufu kama Team, kuna watu wanaweza kuponda jambo ili mradi tu kwa sababu yeye si shabiki wa msanii fulani na wapo wengine wanafanya hivyo kwa lengo ya kukomesha, huku wengine wakitaka wasanii waendelee kuleta video za aina fulani pekee na ukifanya vinginevyo wanaona umekosea kwa sababu ndicho kitu walichozoea kifupi hawataki kukutana na kitu cha iana mpya.
You might also like:

Mwanamuziki Peter wa P-Square Atuhumiwa Kumsaliti Mke wake na Mchepuko wa Marekani

POP staa, Peter Okoye ametuhumiwa kumsaliti mkewe, Lora Omotayo baada ya kuripotiwa kuwa ametoka na modo anayefahamika zaidi kupitia Instagram, Aimee ambaye makazi yake yapo Marekani.
Awali,mrembo huyo aliposti picha kwenye Instagram akiwa na Samuel Eto’o na kusema kuwa yupo kwenye maandalizi ya kurejea London akidai kuwa ndiyo sehemu pekee ukitoa Marekani ambayo anapenda kuishi na wakati huo alikuwa akitokea Paris, Ufaransa kwenye mishe zake.
Peter na Mchepuko wake 

Kilichoharibu; baada ya kutupia picha hiyo ambayo ilipigwa na Peter kisha staa huyo naye ‘akashare’ hapo ndipo ishu ikaibuka baada ya mfuasi wao mmoja kukomenti kuwa nyota huyo kutokaKundi la P Square anatoka na modo huyo na amekuwa akizunguka naye miji kama Paris, Antalya na London na kumuacha mkewe nyumbani.

Shabiki huyo ambaye anatumia jina la Mihlany kwenye Instagram,alimwaga mboga kuwa nyota huyo amekuwa akimsaliti mkewe kwa kutoka na modo huyona wiki iliyopita walikuwa pamoja Paris kabla ya kwenda kukutana tena Marekani.

Baada ya komenti hiyo, Peter na modo huyo waliifuta na kumblock kabisaMihlany kwani alishachafua hali ya hewa. Modo huyo alisema: “Tetesi ni burudani lakini wakati mwingine zinawaharibia wahusika.

Kila mmoj ana familia yake na siyo vizuri kunihusisha na mtu mwingine kwani ni rafiki tu na hakuna cha zaidi.”

Kulikoni Dkt Magufuli Kutohudhuria Karamu ya Mabolozi Ikulu?

Nimeshangazwa kidogo kwa kitendo cha Rais Dkt Magufuli kuwaandalia karamu ya kuukaribisha mwaka mpya, mabalozi na Maafisa wa kimataifa waliopo nchini na kisha yeye mwenyewe kumtuma waziri wake wa mambo ya nje kumwakilisha.

Kwa maoni yangu naamini hili ni kosa la kiufundi hasa ikizingatiwa kuwa Magufuli ndio ameanza tenure yake kama Raisi na hivyo angepaswa kutumia fursa hiyo kikamilifu ili kujenga taswira yake vema kimataifa kupitia kile anachokiamini na kusimamia.

Taarifa iliyorushwa na vyombo vya habari haikusema ni dharura gani aliyokuwa Mhe Rais ilihali yupo nchini.
Older Posts
© Copyright EAST ZOO BLOG | Designed By DAESA
Back To Top